Swali: Je, Malaika hawaingii ndani ya nyumba ambayo kuna magazeti yenye picha?
Jibu: Kunakhofiwa hivo. Salama zaidi kwa muumini akate vichwa vya picha hizo. Azifute kwa kitu. Vichwa avipake rangi mpaka viondoke au avikate.
Swali: Afanye hivo kwa kila picha ilioko kwenye gazeti?
Jibiu: Vichwa vyake. Hivo ndio salama zaidi. Vinginevyo rahisi ni yeye kuyafukia. Ni sawa pia akikata vichwa vyake kwa kuviondosha au avipake rangi kama vile wino au rangi nyingine itakayoviondosha.
Swali: Vipi ikiwa anayasoma na akimaliza anayatupa?
Jibu: Ikiwa hayana faida ayapasue au ayazike.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22989/هل-صور-الصحف-مما-يمنع-دخول-الملاىكة
- Imechapishwa: 04/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)