Swali 38: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kupanga safu kuliani mwa imamu katika swalah ya jeneza[1]?
Jibu: Haja ikipelekea katika kufanya hivo basi kupangwe safu upande wa kuliani na kushotoni mwake. Sunnah ni kuswali nyuma ya imamu. Lakini ikiwa mahali ni pafinyu hapana neno.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/140).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 31
- Imechapishwa: 20/12/2021
Swali 38: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kupanga safu kuliani mwa imamu katika swalah ya jeneza[1]?
Jibu: Haja ikipelekea katika kufanya hivo basi kupangwe safu upande wa kuliani na kushotoni mwake. Sunnah ni kuswali nyuma ya imamu. Lakini ikiwa mahali ni pafinyu hapana neno.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/140).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 31
Imechapishwa: 20/12/2021
https://firqatunnajia.com/38-kupanga-safu-kuliani-na-kushotoni-mwa-imamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)