Swali 38: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kupanga safu kuliani mwa imamu katika swalah ya jeneza[1]?
Jibu: Haja ikipelekea katika kufanya hivo basi kupangwe safu upande wa kuliani na kushotoni mwake. Sunnah ni kuswali nyuma ya imamu. Lakini ikiwa mahali ni pafinyu hapana neno.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/140).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 31
- Imechapishwa: 20/12/2021
Swali 38: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kupanga safu kuliani mwa imamu katika swalah ya jeneza[1]?
Jibu: Haja ikipelekea katika kufanya hivo basi kupangwe safu upande wa kuliani na kushotoni mwake. Sunnah ni kuswali nyuma ya imamu. Lakini ikiwa mahali ni pafinyu hapana neno.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/140).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 31
Imechapishwa: 20/12/2021
https://firqatunnajia.com/38-kupanga-safu-kuliani-na-kushotoni-mwa-imamu/