Swali 36: Ni ipi hukumu kuhusiana na jambo la kufanya safu nyingi ingawa haijakamilika safu ya kwanza[1]?
Jibu: Msingi ni kwamba safu katika swalah ya jeneza zipangwe kama zinavyopangwa katika swalah za faradhi. Safu za mwanzo ndizo zianze kukamilishwa. Ama kitendo cha Maalik bin Hubayrah (Radhiya Allaahu ´anh) katika cheni ya wapokezi wake kuna unyonge. Isitoshe inaenda kinyume na Hadiyth Swahiyh ambazo zinajulisha juu ya ulazima wa kukamilisha safu za mwanzo katika swalah.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/139).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 30
- Imechapishwa: 19/12/2021
Swali 36: Ni ipi hukumu kuhusiana na jambo la kufanya safu nyingi ingawa haijakamilika safu ya kwanza[1]?
Jibu: Msingi ni kwamba safu katika swalah ya jeneza zipangwe kama zinavyopangwa katika swalah za faradhi. Safu za mwanzo ndizo zianze kukamilishwa. Ama kitendo cha Maalik bin Hubayrah (Radhiya Allaahu ´anh) katika cheni ya wapokezi wake kuna unyonge. Isitoshe inaenda kinyume na Hadiyth Swahiyh ambazo zinajulisha juu ya ulazima wa kukamilisha safu za mwanzo katika swalah.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/139).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 30
Imechapishwa: 19/12/2021
https://firqatunnajia.com/36-kufanya-safu-nyingi-ijapo-za-mbele-hazijakamilika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)