Swali 34: Mimi ni mfanyakazi katika kituo cha treni ninakagua tikiti na wakati mwingine nasafiri na treni hadi umbali wa 200 km na wakati mwingine hadi 400 km. Je, inafaa kwangu kufupisha zile swalah za Rak´ah nne[1]?
Jibu: Kujengea yale uliyoyataja inafaa kwako kufupisha kutokana na umbali uliotajwa. Ni masafa yanayozingatiwa ya kufupisha. Imetuthibitikia, baada ya kutafiti, ya kwamba umbali unaozingatiwa kufupisha ni takriban 80 km na zaidi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (11/267-268).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Musaafir, uk. 50
- Imechapishwa: 08/04/2022
Swali 34: Mimi ni mfanyakazi katika kituo cha treni ninakagua tikiti na wakati mwingine nasafiri na treni hadi umbali wa 200 km na wakati mwingine hadi 400 km. Je, inafaa kwangu kufupisha zile swalah za Rak´ah nne[1]?
Jibu: Kujengea yale uliyoyataja inafaa kwako kufupisha kutokana na umbali uliotajwa. Ni masafa yanayozingatiwa ya kufupisha. Imetuthibitikia, baada ya kutafiti, ya kwamba umbali unaozingatiwa kufupisha ni takriban 80 km na zaidi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (11/267-268).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Musaafir, uk. 50
Imechapishwa: 08/04/2022
https://firqatunnajia.com/34-mfanyakazi-anayesafiri-hadi-400-km-kufupisha-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)