Swali 33: Ni ipi hukumu ya kupangusa chini ya soksi za ngozi?
Jibu: Kufuta chini ya soksi za ngozi sio Sunnah. Imepokelewa katika vitabu vya Sunan kwamba ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiay Allaahu ´anh) amesema:
”Laiti dini ingelikuwa inaenda kwa mapendekezo ya mtu basi kufuta kwa chini ya soksi za ngozi kulikuwa na haki zaidi kuliko kufuta kwa chini yake. Nilimwona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akifuta sehemu ya juu ya soksi zake za ngozi.”
Hili linafahamisha kwamba kilichowekwa katika Shari´ah ni kupangusa ile sehemu ya juu peke yake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/177)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Swali 33: Ni ipi hukumu ya kupangusa chini ya soksi za ngozi?
Jibu: Kufuta chini ya soksi za ngozi sio Sunnah. Imepokelewa katika vitabu vya Sunan kwamba ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiay Allaahu ´anh) amesema:
”Laiti dini ingelikuwa inaenda kwa mapendekezo ya mtu basi kufuta kwa chini ya soksi za ngozi kulikuwa na haki zaidi kuliko kufuta kwa chini yake. Nilimwona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akifuta sehemu ya juu ya soksi zake za ngozi.”
Hili linafahamisha kwamba kilichowekwa katika Shari´ah ni kupangusa ile sehemu ya juu peke yake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/177)
Imechapishwa: 06/05/2021
https://firqatunnajia.com/33-ni-ipi-hukumu-ya-kupangusa-chini-ya-soksi-za-miguu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)