Swali 34: Mtu akiingiza mkono wake chini ya soksi unachenguka ule ufutaji wake? Je, ufutaji unachenguka akizivua?
Jibu: Akiingiza mkono wake chini ya soksi ni sawa na hapana vibaya. Ule upangusaji hauchenguki kwa sababu hakuzivua.
Lakini akizivua, kutaangaliwa kama amevua au amefunua kiasi gani. Kama amevua au kufunua kiasi kidogo hakuna tatizo lolote. Na kama amevua au kufunua sehemu kubwa kwa kiasi cha kwamba ikaonekana sehemu kubwa ya mguu, basi ule upangusaji wa huko mbele unabatilika.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/178)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Swali 34: Mtu akiingiza mkono wake chini ya soksi unachenguka ule ufutaji wake? Je, ufutaji unachenguka akizivua?
Jibu: Akiingiza mkono wake chini ya soksi ni sawa na hapana vibaya. Ule upangusaji hauchenguki kwa sababu hakuzivua.
Lakini akizivua, kutaangaliwa kama amevua au amefunua kiasi gani. Kama amevua au kufunua kiasi kidogo hakuna tatizo lolote. Na kama amevua au kufunua sehemu kubwa kwa kiasi cha kwamba ikaonekana sehemu kubwa ya mguu, basi ule upangusaji wa huko mbele unabatilika.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/178)
Imechapishwa: 06/05/2021
https://firqatunnajia.com/34-mtu-akiingiza-mkono-wake-chini-ya-soksi-unachenguka-ule-ufutaji-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)