Miongoni mwa adabu za swawm ni kuharakisha kufungua pindi tu inapothibiti kuzama kwa jua. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Watu wataendelea kuwa katika kheri maadamu wanaharakisha kufungua.”[1]
Kuna maafikiano juu yake.
Maana yake ni kwamba hali ya ummah huu itaendelea kuwa njema na yenye heshima muda wa kuwa wanahifadhi Sunnah hii.
[1] al-Bukhaariy (1957) na Muslim (1098).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 33
- Imechapishwa: 28/02/2026
Miongoni mwa adabu za swawm ni kuharakisha kufungua pindi tu inapothibiti kuzama kwa jua. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Watu wataendelea kuwa katika kheri maadamu wanaharakisha kufungua.”[1]
Kuna maafikiano juu yake.
Maana yake ni kwamba hali ya ummah huu itaendelea kuwa njema na yenye heshima muda wa kuwa wanahifadhi Sunnah hii.
[1] al-Bukhaariy (1957) na Muslim (1098).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 33
Imechapishwa: 28/02/2026
https://firqatunnajia.com/32-kufanya-haraka-kufungua-jua-linapozama/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket