Miongoni mwa adabu za swawm ni kuharakisha kufungua pindi tu inapothibiti kuzama kwa jua. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Watu wataendelea kuwa katika kheri maadamu wanaharakisha kufungua.”[1]
Kuna maafikiano juu yake.
Maana yake ni kwamba hali ya ummah huu itaendelea kuwa njema na yenye heshima muda wa kuwa wanahifadhi Sunnah hii.
[1] al-Bukhaariy (1957) na Muslim (1098).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithaaf Ahl-il-Iymaan bi Duruus Shahri Ramadhwaan, uk. 33
- Imechapishwa: 28/02/2026
Miongoni mwa adabu za swawm ni kuharakisha kufungua pindi tu inapothibiti kuzama kwa jua. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Watu wataendelea kuwa katika kheri maadamu wanaharakisha kufungua.”[1]
Kuna maafikiano juu yake.
Maana yake ni kwamba hali ya ummah huu itaendelea kuwa njema na yenye heshima muda wa kuwa wanahifadhi Sunnah hii.
[1] al-Bukhaariy (1957) na Muslim (1098).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithaaf Ahl-il-Iymaan bi Duruus Shahri Ramadhwaan, uk. 33
Imechapishwa: 28/02/2026
https://firqatunnajia.com/32-kufanya-haraka-kufungua-jua-linapozama/