Shu´uubiyyah. Ni wazushi na wapotofu. Wanaona kulingana kwa waarabu na watumwa. Hawatambui haki wala ubora wa waarabu. Hawawapendi. Bali wanawachukia waarabu na wanawawekea ndani ya nyoyo zao chuki, hasadi na bughudha. Hii ni ´Aqiydah mbaya iliyozuliwa na muiraki mmoja ambaye alifuatwa na kundi la watu wachache ambapo baadaye akauliwa kutokana na madhehebu yake.
- Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 94
- Imechapishwa: 08/06/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)