4- Mtumzima ambaye amefikia upeo wa kutokwa na akili na hawezi kupambanua mambo. Si lazima kwake kufunga wala kutolewa chakula kwa sababu ´ibaadah hazimlazimu kwa kutokuwa na uwezo wa kupambanua ambapo amefanana na mtoto kabla ya kuwa na uwezo wa kupambanua mambo. Ikiwa baadhi ya nyakati anakuwa na uwezo wa kupambanua mambo na wakati mwingine anaondokwa na akili basi ni lazima kwake kufunga katika kile kipindi anachoweza kupambanua mambo pasi na kile kipindi anachoondokwa na akili. Swalah ina hukumu moja kama swawm. Haimlazimu katika kile kipindi anachoondokwa na akili na inamlazimu katika kile kipindi anachoweza kupambanua mambo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 45
- Imechapishwa: 22/04/2020
4- Mtumzima ambaye amefikia upeo wa kutokwa na akili na hawezi kupambanua mambo. Si lazima kwake kufunga wala kutolewa chakula kwa sababu ´ibaadah hazimlazimu kwa kutokuwa na uwezo wa kupambanua ambapo amefanana na mtoto kabla ya kuwa na uwezo wa kupambanua mambo. Ikiwa baadhi ya nyakati anakuwa na uwezo wa kupambanua mambo na wakati mwingine anaondokwa na akili basi ni lazima kwake kufunga katika kile kipindi anachoweza kupambanua mambo pasi na kile kipindi anachoondokwa na akili. Swalah ina hukumu moja kama swawm. Haimlazimu katika kile kipindi anachoondokwa na akili na inamlazimu katika kile kipindi anachoweza kupambanua mambo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 45
Imechapishwa: 22/04/2020
https://firqatunnajia.com/31-fungu-la-nne-juu-ya-funga-ya-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)