2 – Mfungaji hatakiwi kupandisha maji puani sana kwa kuchelea asije kunywa maji kwa kuingia kooni mwake. Hayo ni kutokana na yale waliyopokea waandishi wa “as-Sunan” na yakasahihishwa na Ibn Khuzaymah kupitia kwa Luqaytw aliyesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwambia:
“Fanya kishindo katika kupalizia isipokuwa kama utakuwa umefunga.”[1]
[1] Abu Daawuud (142) na at-Tirmidhiy (788) na wengineo. at-Tirmidhiy amesema:
“Hadiyth ni nzuri na Swahiyh.”
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus fiy Ramadhwaan, uk. 49
- Imechapishwa: 24/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)