Swali: Kuna mwanamke aliacha kufunga miaka mingi wakati alipokuwa mdogo. Isitoshe hajui ni lini ilimjia ada yake ya mwezi. Ni kipi kinachomlazimu hivi sasa?
Jibu: Mwanamke analazimika kufunga wakati anapobaleghe kwa hedhi, kuota au aakafikisha miaka kumi na tano. Katika hali hii anapaswa kuanzia ule umri wa chini kabisa na afunge yale masiku ambayo hakufunga. Aidha anatakiwa kulisha chakula masikini 1.5 kg ya mchele au ngano kwa kila siku iliyompita.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 31
- Imechapishwa: 24/03/2022
Swali: Kuna mwanamke aliacha kufunga miaka mingi wakati alipokuwa mdogo. Isitoshe hajui ni lini ilimjia ada yake ya mwezi. Ni kipi kinachomlazimu hivi sasa?
Jibu: Mwanamke analazimika kufunga wakati anapobaleghe kwa hedhi, kuota au aakafikisha miaka kumi na tano. Katika hali hii anapaswa kuanzia ule umri wa chini kabisa na afunge yale masiku ambayo hakufunga. Aidha anatakiwa kulisha chakula masikini 1.5 kg ya mchele au ngano kwa kila siku iliyompita.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 31
Imechapishwa: 24/03/2022
https://firqatunnajia.com/31-ameacha-kufunga-na-hajui-wakati-wa-kubaleghe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)