Swali: Nina deni la siku saba za Ramadhaan na hivi sasa kumeshapita mwaka. Ni kipi kinachonilazimu?
Jibu: Ikiwa umechelewesha pasi na udhuru, basi utatakiwa kulipa na kulisha chakula kwa kila siku iliyokupita. Na ikiwa ni kutokana na udhuru, basi hakuna kinachokulazimu isipokuwa tu kulipa masiku yako.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 32
- Imechapishwa: 24/03/2022
Swali: Nina deni la siku saba za Ramadhaan na hivi sasa kumeshapita mwaka. Ni kipi kinachonilazimu?
Jibu: Ikiwa umechelewesha pasi na udhuru, basi utatakiwa kulipa na kulisha chakula kwa kila siku iliyokupita. Na ikiwa ni kutokana na udhuru, basi hakuna kinachokulazimu isipokuwa tu kulipa masiku yako.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 32
Imechapishwa: 24/03/2022
https://firqatunnajia.com/32-hakuwahi-kulipa-siku-anazodaiwa-mpaka-ameingiliwa-na-ramadhaan-nyingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)