Swali 30: Ni lazima kubadilisha sanda damu ikitoka baada ya kumuosha maiti[1]?
Jibu: Sanda ibadilishwe au ioshwe. Pale pahali kunapovuja damu kuwekwe kitu kinachoizuia kama mfano wa nta au cheginecho.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/129).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 26
- Imechapishwa: 18/12/2021
Swali 30: Ni lazima kubadilisha sanda damu ikitoka baada ya kumuosha maiti[1]?
Jibu: Sanda ibadilishwe au ioshwe. Pale pahali kunapovuja damu kuwekwe kitu kinachoizuia kama mfano wa nta au cheginecho.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/129).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 26
Imechapishwa: 18/12/2021
https://firqatunnajia.com/30-ni-lazima-kubadilisha-sanda-damu-ikitoka-baada-ya-kumuosha-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)