Ni lazima kumwabudu Allaah pekee katika hali zote na ni lazima kutubu kutokamana na shirki, kujutia na kujikwamua. Ama kusema mtu anampwekesha Allaah wakati fulani na wakati mwingine anamshirikisha Allaah hazingatiwi ni mpwekeshaji.
Faida!
Atakayedhibiti misingi hii minne basi itambainikia tofauti ya shirki na Tawhiyd.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Qawaa´id al-Arba´ah, uk. 153
- Imechapishwa: 15/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)