3 – Watu wa mwanzo walikuwa ima wakimwabudu Mtume, mja mwema, mti au jiwe linalomsabihi Allaah. Lakini ambao wamekuja nyuma wakawa ni wenye kuwaabudu makafiri au mafusaki. Ambaye anamwabudu mtenda dhambi au kafiri ni mbaya zaidi kuliko ambaye anamwabudu Mtume au mja mwema.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Qawaa´id al-Arba´ah, uk. 152-153
- Imechapishwa: 15/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)