Swali 30: Afanye nini mtu akitilia shaka ni lini alianza kupangusa na kumebaki muda kiasi gani?
Jibu: Katika hali hii ajengee juu ya yakini. Akitilia shaka kama alipangusa katika wakati wa swalah ya Dhuhr au swalah ya ´Aswr, basi ajaalie kuanza kuhesabu muda iwe ni ´Aswr. Kimsingi ni kutopangusa. Dalili ya kanuni hii ni kwamba mambo ni yenye kubaki kama yalivo na msingi ni kule mtu kuwa hakupangusa. Kuna mtu alimshtakia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba anahisi kitu ndani ya swalah yake ambapo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamwambia:
“Asitoke mpaka asikie sauti au ahisi harufu.”[1]
[1] al-Bukhaariy (137) na Muslim (361).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/176)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Swali 30: Afanye nini mtu akitilia shaka ni lini alianza kupangusa na kumebaki muda kiasi gani?
Jibu: Katika hali hii ajengee juu ya yakini. Akitilia shaka kama alipangusa katika wakati wa swalah ya Dhuhr au swalah ya ´Aswr, basi ajaalie kuanza kuhesabu muda iwe ni ´Aswr. Kimsingi ni kutopangusa. Dalili ya kanuni hii ni kwamba mambo ni yenye kubaki kama yalivo na msingi ni kule mtu kuwa hakupangusa. Kuna mtu alimshtakia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba anahisi kitu ndani ya swalah yake ambapo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamwambia:
“Asitoke mpaka asikie sauti au ahisi harufu.”[1]
[1] al-Bukhaariy (137) na Muslim (361).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/176)
Imechapishwa: 06/05/2021
https://firqatunnajia.com/30-afanye-nini-mtu-akitilia-shaka-ni-lini-alianza-kupangusa-na-kumebaki-muda-kiasi-gani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)