29. Mtu apanguse vipi akipangusa hali ya kuwa ni msafiri kisha akarudi nyumbani?

Swali 29: Mtu apanguse vipi akipangusa hali ya kuwa ni msafiri kisha akarudi nyumbani?

Jibu: Kwa mujibu wa maoni yenye nguvu ni kwamba atapangusa akiwa ni mkazi. Ikiwa kumebaki kitu katika muda wake basi atapangusa. Venginevyo atazivua wakati wa kutawadha na kuosha miguu yake.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/176)
  • Imechapishwa: 06/05/2021