Swali: Kipi kinachosomwa katika Sunnah ya ´Ishaa na Witr na baada ya Witr?
Jibu: Katika Sunnah ya ´Ishaa hakukupokelewa kusoma Suurah maalum. Kuhusu katika swalah ya Witr inasuniwa kusoma Suurah “al-A´laa”, “al-Kaafiruun” na “al-Ikhlaasw”. Atapotoa salamu ya Witr atasema:
سبحان الملك القدوس, سبحان الملك القدوس, سبحان الملك القدوس
“Ametakasika Mfalme, Mtakatifu. Ametakasika Mfalme, Mtakatifu. Ametakasika Mfalme, Mtakatifu.”
Hayo ni kutokana na yale yaliyopokelewa na watano, isipokuwa at-Tirmidhiy, kupitia kwa Ubayy bin Ka´b (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wa Allaah alikuwa akisoma katika Witr “al-A´laa”, “al-Kaafiruun” na “al-Ikhlaasw”.”
Ahmad na an-Nasaa´iy wamezidisha:
“Anapotoa salamu husema:
سبحان الملك القدوس, سبحان الملك القدوس, سبحان الملك القدوس
“Ametakasika Mfalme, Mtakatifu. Ametakasika Mfalme, Mtakatifu. Ametakasika Mfalme, Mtakatifu.”
Imekuja katika upokezi mwingine:
“Ile mara ya tatu akinyanyua sauti yake juu.”
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Bakr Abu Zayd
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Swalaat-it-Taraawiyh, uk. 31-32
- Imechapishwa: 20/04/2022
Swali: Kipi kinachosomwa katika Sunnah ya ´Ishaa na Witr na baada ya Witr?
Jibu: Katika Sunnah ya ´Ishaa hakukupokelewa kusoma Suurah maalum. Kuhusu katika swalah ya Witr inasuniwa kusoma Suurah “al-A´laa”, “al-Kaafiruun” na “al-Ikhlaasw”. Atapotoa salamu ya Witr atasema:
سبحان الملك القدوس, سبحان الملك القدوس, سبحان الملك القدوس
“Ametakasika Mfalme, Mtakatifu. Ametakasika Mfalme, Mtakatifu. Ametakasika Mfalme, Mtakatifu.”
Hayo ni kutokana na yale yaliyopokelewa na watano, isipokuwa at-Tirmidhiy, kupitia kwa Ubayy bin Ka´b (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wa Allaah alikuwa akisoma katika Witr “al-A´laa”, “al-Kaafiruun” na “al-Ikhlaasw”.”
Ahmad na an-Nasaa´iy wamezidisha:
“Anapotoa salamu husema:
سبحان الملك القدوس, سبحان الملك القدوس, سبحان الملك القدوس
“Ametakasika Mfalme, Mtakatifu. Ametakasika Mfalme, Mtakatifu. Ametakasika Mfalme, Mtakatifu.”
Imekuja katika upokezi mwingine:
“Ile mara ya tatu akinyanyua sauti yake juu.”
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Bakr Abu Zayd
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Swalaat-it-Taraawiyh, uk. 31-32
Imechapishwa: 20/04/2022
https://firqatunnajia.com/29-kipi-kinachosomwa-katika-sunnah-ya-ishaa-na-witr-na-baada-ya-witr/