Khashabiyyah. ´Aqiydah yao ni moja kama Zaydiyyah na Shiy´ah. Kutokana na wanavodai wanawapenda watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) zaidi kuliko wanavofanya wengine. Ni waongo. Ukweli wa mambo ni kwamba wao ni wenye kuwachukia watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) zaidi kuliko wanavofanya wengine. Hakika si venginevyo wafuasi (شيعة) wa kweli wa watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni wale wenye kumcha Allaah Ahl-us-Sunnah wal-Athar, pasi na kujali ni kina nani na wapi walipo. Ambao wanawapenda watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah wote wa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hawamtaji yeyote miongoni mwao kwa mabaya. Hawamkosoi Swahabah yeyote. Ambaye atamtaja yeyote miongoni mwa Maswahabah wa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa njia mbaya, au akamkosoa yeyote miongoni mwao, au akajitenga mbali na yeyote miongoni mwao, au akamtukana yeyote miongoni mwao, au akamponda yeyote miongoni mwao, basi huyo ni Raafidhwiy, mwenye kwenda kinyume, mchafu na mpotofu.
- Mhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 85-86
- Imechapishwa: 08/06/2022
Khashabiyyah. ´Aqiydah yao ni moja kama Zaydiyyah na Shiy´ah. Kutokana na wanavodai wanawapenda watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) zaidi kuliko wanavofanya wengine. Ni waongo. Ukweli wa mambo ni kwamba wao ni wenye kuwachukia watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) zaidi kuliko wanavofanya wengine. Hakika si venginevyo wafuasi (شيعة) wa kweli wa watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni wale wenye kumcha Allaah Ahl-us-Sunnah wal-Athar, pasi na kujali ni kina nani na wapi walipo. Ambao wanawapenda watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah wote wa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hawamtaji yeyote miongoni mwao kwa mabaya. Hawamkosoi Swahabah yeyote. Ambaye atamtaja yeyote miongoni mwa Maswahabah wa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa njia mbaya, au akamkosoa yeyote miongoni mwao, au akajitenga mbali na yeyote miongoni mwao, au akamtukana yeyote miongoni mwao, au akamponda yeyote miongoni mwao, basi huyo ni Raafidhwiy, mwenye kwenda kinyume, mchafu na mpotofu.
Mhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 85-86
Imechapishwa: 08/06/2022
https://firqatunnajia.com/28-hivi-ndivo-wanavoamini-khashabiyyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)