Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Lakini ukimuelekea Allaah (Ta´ala) na ukasikiliza hoja na ubainifu Wake, hutokhofu na wala hutohuzunika.
إِنَّ كَيْدَ الشَّيْطَانِ كَانَ ضَعِيفًا
“Hakika hila za shaytwaan ni dhaifu.” (04:76)
MAELEZO
Hapa (Rahimahu Allaah) anachotaka ni kumtia moyo yule mwenye kumuelekea Allaah (Ta´ala) na akaitambua haki, ya kwamba asiogope hoja za watu wa batili. Kwa sababu ni hoja nyonge na ni njama za shaytwaan. Allaah (Ta´ala) amesema:
إِنَّ كَيْدَ الشَّيْطَانِ كَانَ ضَعِيفًا
“Hakika hila za shaytwaan ni dhaifu.”
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 50
- Imechapishwa: 04/11/2023
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Lakini ukimuelekea Allaah (Ta´ala) na ukasikiliza hoja na ubainifu Wake, hutokhofu na wala hutohuzunika.
إِنَّ كَيْدَ الشَّيْطَانِ كَانَ ضَعِيفًا
“Hakika hila za shaytwaan ni dhaifu.” (04:76)
MAELEZO
Hapa (Rahimahu Allaah) anachotaka ni kumtia moyo yule mwenye kumuelekea Allaah (Ta´ala) na akaitambua haki, ya kwamba asiogope hoja za watu wa batili. Kwa sababu ni hoja nyonge na ni njama za shaytwaan. Allaah (Ta´ala) amesema:
إِنَّ كَيْدَ الشَّيْطَانِ كَانَ ضَعِيفًا
“Hakika hila za shaytwaan ni dhaifu.”
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 50
Imechapishwa: 04/11/2023
https://firqatunnajia.com/27-mlango-wa-06-muumini-asiogope-hoja-za-watu-wa-batili/