26- Imesihi kupokelewa kutoka kwa Salmaan al-Faarisiy ambaye amesema:
“Allaah aliuvimbisha udongo wa Aadam kwa nyusiku arubaini kisha akaukusanya mkononi Mwake. Baadaye akatoa nje vizuri vyote kwa mkono Wake wa kuume na vibaya vyote kwa mkono Wake wa kushoto.”[1]
Hammaad bin Salamah akaashiria kwa mkono wake. Cheni ya wapokezi ni Swahiyh. Hammaad akafuta kwa mkono wake mmoja juu ya mwingine na hivyo ndivo alivofanya Hajjaaj al-A´war. Hajjaaj ameyapokea haya kutoka kwa Hammaad bin Salamah, kutoka kwa Sulaymaan at-Taymiy, kutoka kwa Abu ´Uthmaan an-Nahdiy, kutoka kwa Salmaan.
[1] al-Bayhaqiy (2/153), Abuush-Shaykh (1006) na Ibn Mandah katika ”Kitaab-ut-Tawhiyd” (484).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 23
- Imechapishwa: 27/06/2019
26- Imesihi kupokelewa kutoka kwa Salmaan al-Faarisiy ambaye amesema:
“Allaah aliuvimbisha udongo wa Aadam kwa nyusiku arubaini kisha akaukusanya mkononi Mwake. Baadaye akatoa nje vizuri vyote kwa mkono Wake wa kuume na vibaya vyote kwa mkono Wake wa kushoto.”[1]
Hammaad bin Salamah akaashiria kwa mkono wake. Cheni ya wapokezi ni Swahiyh. Hammaad akafuta kwa mkono wake mmoja juu ya mwingine na hivyo ndivo alivofanya Hajjaaj al-A´war. Hajjaaj ameyapokea haya kutoka kwa Hammaad bin Salamah, kutoka kwa Sulaymaan at-Taymiy, kutoka kwa Abu ´Uthmaan an-Nahdiy, kutoka kwa Salmaan.
[1] al-Bayhaqiy (2/153), Abuush-Shaykh (1006) na Ibn Mandah katika ”Kitaab-ut-Tawhiyd” (484).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 23
Imechapishwa: 27/06/2019
https://firqatunnajia.com/25-maneno-ya-salmaan-al-faarisiy-kuhusu-mikono-ya-allaah/