Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
47 – Kila mmoja amewepesishiwa kwa kile alichoumbiwa.
MAELEZO
Ni sehemu ya Hadiyth ya ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh) aliyoipokea al-Bukhaariy na Muslim. Nimeikagua katika “Dhwilaal-ul-Jannah fiy Takhriyj-is-Sunnah” (171). Imesihi kwamba pindi baadhi ya Maswahabah walipomsikia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anazungumza namna hiyo, walisema:
”Basi tunapambana.”
Imekuja katika upokezi mwingine:
” Hivi sasa tunapambana, hivi sasa tunapambana, hivi sasa tunapambana.”[1]
Ni Radd ya wazi kabisa kwa Jabriyyah wanaodai kuwa wanategemea makadirio kikamilifu. Wanaifahamu Hadiyth kinyume kabisa na walivyofahamu Maswahabah.
[1] “Dhwilaal-ul-Jannah fiy Takhriyj-is-Sunnah” (161) na (167).
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – Sharh wa Ta´liyq, uk. 40
- Imechapishwa: 23/09/2024
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
47 – Kila mmoja amewepesishiwa kwa kile alichoumbiwa.
MAELEZO
Ni sehemu ya Hadiyth ya ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh) aliyoipokea al-Bukhaariy na Muslim. Nimeikagua katika “Dhwilaal-ul-Jannah fiy Takhriyj-is-Sunnah” (171). Imesihi kwamba pindi baadhi ya Maswahabah walipomsikia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anazungumza namna hiyo, walisema:
”Basi tunapambana.”
Imekuja katika upokezi mwingine:
” Hivi sasa tunapambana, hivi sasa tunapambana, hivi sasa tunapambana.”[1]
Ni Radd ya wazi kabisa kwa Jabriyyah wanaodai kuwa wanategemea makadirio kikamilifu. Wanaifahamu Hadiyth kinyume kabisa na walivyofahamu Maswahabah.
[1] “Dhwilaal-ul-Jannah fiy Takhriyj-is-Sunnah” (161) na (167).
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – Sharh wa Ta´liyq, uk. 40
Imechapishwa: 23/09/2024
https://firqatunnajia.com/25-kila-mmoja-amewepesishiwa-kwa-kile-alichoumbiwa/