127 – Inatakiwa kuwasalimia waja wa Allaah wote.
128 – Ambaye anaacha swalah ya ijumaa na ya mkusanyiko msikitini bila ya udhuru wowote, ni mzushi. Miongoni mwa nyudhuru kunaingia pia maradhi yenye kumzuia mtu kutoweza kwenda msikitini au kumuogopa mtawala mwenye kudhulumu. Yasiyokuwa haya hayazingatiwi kuwa ni udhuru wowote.
129 – Yule mwenye kuswali nyuma ya imamu na asimfuate, swalah yake si sahihi.
130 – Kuamrisha mema na kukataza maovu kunakuwa kwa mkono, mdomo na moyo, bila ya upanga.
131 – Muislamu aliyesitiriwa ni yule asiyedhihirisha kitu kinachotia mashaka.
132 – Elimu yoyote ya ghaibu ambayo mja anatamka kwayo na si yenye kupatikana ndani ya Qur-aan wala Sunnah, ni Bid´ah na upotevu. Haimpasi yeyote kuitendea kazi wala kulingania kwayo.
133 – Mwanamke yeyote mwenye kujioza mwenyewe kwa mwanaume si halali kwake, isipokuwa kwa kuwepo walii, mashahidi wawili waadilifu pamoja na mahari. Katika hali nyinginezo wanatakiwa kuadhibiwa endapo watafanya kitu.
- Mhusika: Imaam Abu Muhammad al-Hasan bin Khalaf al-Barbahaariy (kfk. 329)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh-us-Sunnah, uk. 113-115
- Imechapishwa: 23/12/2024
127 – Inatakiwa kuwasalimia waja wa Allaah wote.
128 – Ambaye anaacha swalah ya ijumaa na ya mkusanyiko msikitini bila ya udhuru wowote, ni mzushi. Miongoni mwa nyudhuru kunaingia pia maradhi yenye kumzuia mtu kutoweza kwenda msikitini au kumuogopa mtawala mwenye kudhulumu. Yasiyokuwa haya hayazingatiwi kuwa ni udhuru wowote.
129 – Yule mwenye kuswali nyuma ya imamu na asimfuate, swalah yake si sahihi.
130 – Kuamrisha mema na kukataza maovu kunakuwa kwa mkono, mdomo na moyo, bila ya upanga.
131 – Muislamu aliyesitiriwa ni yule asiyedhihirisha kitu kinachotia mashaka.
132 – Elimu yoyote ya ghaibu ambayo mja anatamka kwayo na si yenye kupatikana ndani ya Qur-aan wala Sunnah, ni Bid´ah na upotevu. Haimpasi yeyote kuitendea kazi wala kulingania kwayo.
133 – Mwanamke yeyote mwenye kujioza mwenyewe kwa mwanaume si halali kwake, isipokuwa kwa kuwepo walii, mashahidi wawili waadilifu pamoja na mahari. Katika hali nyinginezo wanatakiwa kuadhibiwa endapo watafanya kitu.
Mhusika: Imaam Abu Muhammad al-Hasan bin Khalaf al-Barbahaariy (kfk. 329)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh-us-Sunnah, uk. 113-115
Imechapishwa: 23/12/2024
https://firqatunnajia.com/25-asiyeswali-msikitini-ni-mzushi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)