01 – Wanandoa wote wawili kumcha Allaah
Wanandoa wote wakimcha Allaah basi mambo yanakuwa mepesi. Kumcha Allaah ndio kichwa cha mambo yote:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّـهَ وَذَرُوا مَا بَقِيَ مِنَ الرِّبَا إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ
“Enyi walioamini! Mcheni Allaah na acheni yaliyobakia katika ribaa ikiwa kweli nyinyi ni waumini.”[1]
[1] 02:278
- Muhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 41
- Imechapishwa: 20/04/2024
01 – Wanandoa wote wawili kumcha Allaah
Wanandoa wote wakimcha Allaah basi mambo yanakuwa mepesi. Kumcha Allaah ndio kichwa cha mambo yote:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّـهَ وَذَرُوا مَا بَقِيَ مِنَ الرِّبَا إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ
“Enyi walioamini! Mcheni Allaah na acheni yaliyobakia katika ribaa ikiwa kweli nyinyi ni waumini.”[1]
[1] 02:278
Muhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 41
Imechapishwa: 20/04/2024
https://firqatunnajia.com/24-tiba-ya-kwanza-ya-talaka-ambayo-ni-kumcha-allaah/