Raafidhwah. Ni wale wanaojitenga mbali na Maswahabah wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), wanawatukana, wanawapunguza na wanakufurisha Ummah mzima isipokuwa wachache mno. Raafidhwah hawana lolote kuhusiana na Uislamu.
- Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 81-82
- Imechapishwa: 02/06/2022
Raafidhwah. Ni wale wanaojitenga mbali na Maswahabah wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), wanawatukana, wanawapunguza na wanakufurisha Ummah mzima isipokuwa wachache mno. Raafidhwah hawana lolote kuhusiana na Uislamu.
Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 81-82
Imechapishwa: 02/06/2022
https://firqatunnajia.com/24-hivi-ndivo-wanavoamini-raafidhwah/