Swali 24: Yeyote ambaye anasema:
“Mayahudi na manaswara wamefikiwa na ulinganizi wa Kiislamu kwa sura mbaya na kwa ajili hiyo hatuwakufurishi.”
Ni ipi hukumu ya maneno haya?
Jibu: Si sahihi. Bali wamefikiwa na ulinganizi tangu wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yeye mwenyewe aliwafikishia, Maswahabah pia waliwafikishia, walinganizi waliwafikishia na maimamu waliwafikishia. Hata Shaykh-ul-Islaam aliwafikishia wenyewe. Hivyo kusema kwamba hawakufikiwa na ujumbe ni batili.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: As-ilah wa Ajwibah fiy-Iymaan wal-Kufr, uk. 56
- Imechapishwa: 09/01/2026
Swali 24: Yeyote ambaye anasema:
“Mayahudi na manaswara wamefikiwa na ulinganizi wa Kiislamu kwa sura mbaya na kwa ajili hiyo hatuwakufurishi.”
Ni ipi hukumu ya maneno haya?
Jibu: Si sahihi. Bali wamefikiwa na ulinganizi tangu wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yeye mwenyewe aliwafikishia, Maswahabah pia waliwafikishia, walinganizi waliwafikishia na maimamu waliwafikishia. Hata Shaykh-ul-Islaam aliwafikishia wenyewe. Hivyo kusema kwamba hawakufikiwa na ujumbe ni batili.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: As-ilah wa Ajwibah fiy-Iymaan wal-Kufr, uk. 56
Imechapishwa: 09/01/2026
https://firqatunnajia.com/24-haifai-kuwakufurisha-mayahudi-na-manaswara-kwa-sababu-wamefikiwa-na-uislamu-kwa-sura-mbaya/