Swali 24: Yeyote ambaye anasema:
“Mayahudi na manaswara wamefikiwa na ulinganizi wa Kiislamu kwa sura mbaya na kwa ajili hiyo hatuwakufurishi.”
Ni ipi hukumu ya maneno haya?
Jibu: Si sahihi. Bali wamefikiwa na ulinganizi tangu wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yeye mwenyewe aliwafikishia, Maswahabah pia waliwafikishia, walinganizi waliwafikishia na maimamu waliwafikishia. Hata Shaykh-ul-Islaam aliwafikishia wenyewe. Hivyo kusema kwamba hawakufikiwa na ujumbe ni batili.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: As-ilah wa Ajwibah fiy-Iymaan wal-Kufr, uk. 56
- Imechapishwa: 09/01/2026
Swali 24: Yeyote ambaye anasema:
“Mayahudi na manaswara wamefikiwa na ulinganizi wa Kiislamu kwa sura mbaya na kwa ajili hiyo hatuwakufurishi.”
Ni ipi hukumu ya maneno haya?
Jibu: Si sahihi. Bali wamefikiwa na ulinganizi tangu wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yeye mwenyewe aliwafikishia, Maswahabah pia waliwafikishia, walinganizi waliwafikishia na maimamu waliwafikishia. Hata Shaykh-ul-Islaam aliwafikishia wenyewe. Hivyo kusema kwamba hawakufikiwa na ujumbe ni batili.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: As-ilah wa Ajwibah fiy-Iymaan wal-Kufr, uk. 56
Imechapishwa: 09/01/2026
https://firqatunnajia.com/24-haifai-kuwakufurisha-mayahudi-na-manaswara-kwa-sababu-wamefikiwa-na-uislamu-kwa-sura-mbaya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket