Maana ya ´hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah` ndio Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah na sio Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah. Iwapo maana yake ingelikuwa ni Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) asingeliwaambia washirikina:
“Semeni ´hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah´.” Ahmad (03/492).
Kwa sababu wao walikuwa wakisema Allaah kuwa ndiye Muumbaji, Mruzukaji, Muhuishaji na Mfishaji na hapo ndipo anataka kuwafikisha kwenye malengo na anawapiga vita kwa kitu ambacho wanakitambua na kukikubali. Haya ni maneno batili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 38
- Imechapishwa: 07/11/2016
Maana ya ´hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah` ndio Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah na sio Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah. Iwapo maana yake ingelikuwa ni Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) asingeliwaambia washirikina:
“Semeni ´hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah´.” Ahmad (03/492).
Kwa sababu wao walikuwa wakisema Allaah kuwa ndiye Muumbaji, Mruzukaji, Muhuishaji na Mfishaji na hapo ndipo anataka kuwafikisha kwenye malengo na anawapiga vita kwa kitu ambacho wanakitambua na kukikubali. Haya ni maneno batili.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 38
Imechapishwa: 07/11/2016
https://firqatunnajia.com/23-tawhiyd-ul-uluuhiyyah-ndio-maana-ya-shahaadah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)