Swali 23: Ni kipi walichofanya washirikina wakati walipoona jambo hilo?
Jibu: Walikusanyika juu ya kuacha kuchaganyika, kuwazungumzisha na kuoa kutoka kwa Banuu Haashim na Banuu ´Abdil-Muttwalib. Washirikina wakaandika mkataba walioutundika juu ya ukuta wa Ka´bah. Kwa hivyo Banuu Haashim na Banuu ´Abdil-Muttwalib walikutana katika kifungu cha Abu Twaalib ili kujadili hali waliyomo.
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 98
- Imechapishwa: 19/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)