Swali 23: Imepokelewa kwamba kunanadiwa katika swalah ya kupatwa kwa jua:
الصلاة جامعة
“Swalah ya pamoja.”
Je, yanasemwa mara moja au imesuniwa kuyakariri? Ni mara ngapi yanakaririwa?
Jibu: Imethibiti kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamrisha kunadiwe swalah ya kupatwa kwa jua kwa kusema:
الصلاة جامعة
“Swalah ya pamoja.”
Sunnah kwa mwenye kuita akariri hivo mpaka ayakinishe kuwa amewasikilizisha watu. Hilo halina kikomo maalum kutokana na tunavojua.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 24-25
- Imechapishwa: 18/08/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)