Swali 23: Imepokelewa kwamba kunanadiwa katika swalah ya kupatwa kwa jua:
الصلاة جامعة
“Swalah ya pamoja.”
Je, yanasemwa mara moja au imesuniwa kuyakariri? Ni mara ngapi yanakaririwa?
Jibu: Imethibiti kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamrisha kunadiwe swalah ya kupatwa kwa jua kwa kusema:
الصلاة جامعة
“Swalah ya pamoja.”
Sunnah kwa mwenye kuita akariri hivo mpaka ayakinishe kuwa amewasikilizisha watu. Hilo halina kikomo maalum kutokana na tunavojua.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 24-25
- Imechapishwa: 18/08/2022
Swali 23: Imepokelewa kwamba kunanadiwa katika swalah ya kupatwa kwa jua:
الصلاة جامعة
“Swalah ya pamoja.”
Je, yanasemwa mara moja au imesuniwa kuyakariri? Ni mara ngapi yanakaririwa?
Jibu: Imethibiti kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamrisha kunadiwe swalah ya kupatwa kwa jua kwa kusema:
الصلاة جامعة
“Swalah ya pamoja.”
Sunnah kwa mwenye kuita akariri hivo mpaka ayakinishe kuwa amewasikilizisha watu. Hilo halina kikomo maalum kutokana na tunavojua.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 24-25
Imechapishwa: 18/08/2022
https://firqatunnajia.com/23-mwito-kwa-ajili-ya-swalah-ya-kupatwa-kwa-jua/