Waaqifah. Ni wale wanaosema kuwa Qur-aan ni maneno ya Allaah na sambamba na hilo wanajizuilia kusema kuwa haikuumbwa. Wao ni miongoni mwa aina mbaya na ovu kabisa.
Lafdhwiyyah. Ni wale wanaosema kuwa Qur-aan ni maneno ya Allaah lakini matamsi yake na kisomo chake kimeumbwa. Nao ni Jahmiyyah watenda maovu wakubwa.
- Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 81
- Imechapishwa: 02/06/2022
Waaqifah. Ni wale wanaosema kuwa Qur-aan ni maneno ya Allaah na sambamba na hilo wanajizuilia kusema kuwa haikuumbwa. Wao ni miongoni mwa aina mbaya na ovu kabisa.
Lafdhwiyyah. Ni wale wanaosema kuwa Qur-aan ni maneno ya Allaah lakini matamsi yake na kisomo chake kimeumbwa. Nao ni Jahmiyyah watenda maovu wakubwa.
Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 81
Imechapishwa: 02/06/2022
https://firqatunnajia.com/23-hivi-ndivo-wanavoamini-waaqifah-na-lafdhwiyyah/