Waaqifah. Ni wale wanaosema kuwa Qur-aan ni maneno ya Allaah na sambamba na hilo wanajizuilia kusema kuwa haikuumbwa. Wao ni miongoni mwa aina mbaya na ovu kabisa.
Lafdhwiyyah. Ni wale wanaosema kuwa Qur-aan ni maneno ya Allaah lakini matamsi yake na kisomo chake kimeumbwa. Nao ni Jahmiyyah watenda maovu wakubwa.
- Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 81
- Imechapishwa: 02/06/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)