Jahmiyyah. Ni maadui wa Allaah na ndio wale wanaodai kuwa Qur-aan imeumbwa. Wanadai kuwa Allaah (´Azza wa Jall) hakumzungumzisha Muusa (´alayhis-Salaam), kwamba Allaah hazungumzi na wala haongei. Vilevile wanaona kuwa Allaah hatoonekana, kwamba Hana mahali na kwamba Hana ´Ashiy wala Kursiy. Yapo mengine mengi wanayosema ambayo nachukia kuyataja. Ni makafiri, mazanadiki na maadui wa Allaah. Tahadharini nao!
- Mhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 80-81
- Imechapishwa: 02/06/2022
Jahmiyyah. Ni maadui wa Allaah na ndio wale wanaodai kuwa Qur-aan imeumbwa. Wanadai kuwa Allaah (´Azza wa Jall) hakumzungumzisha Muusa (´alayhis-Salaam), kwamba Allaah hazungumzi na wala haongei. Vilevile wanaona kuwa Allaah hatoonekana, kwamba Hana mahali na kwamba Hana ´Ashiy wala Kursiy. Yapo mengine mengi wanayosema ambayo nachukia kuyataja. Ni makafiri, mazanadiki na maadui wa Allaah. Tahadharini nao!
Mhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 80-81
Imechapishwa: 02/06/2022
https://firqatunnajia.com/22-hivi-ndivo-wanavoamini-jahmiyyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)