Mtunzi (Rahimahu Allaah) amesema:
Ni wajibu kusema “Bismillaah” mtu akikumbuka hilo.
MAELEZO
Ni lazima kusema “Bismillaah” wakati mtu atakumbuka. Shaafi´iyyah wanaona kuwa kusema hivo ni jambo limependekezwa na sio lazima. Endapo mtu ataacha kusema hivo kwa makusudi wudhuu´ wake unasihi. Hayo pia ndio maoni ya Maalik, Abu Haniyfah na kikosi kikubwa cha wanachuoni. Na ndio udhahiri wa mapokezi mawili ya Ahmad. Kuna upokezi mwingine umepokelewa kutoka kwake kwamba ni lazima[1].
[1] al-Majmuu´ (01/408).
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 33
- Imechapishwa: 15/12/2021
Mtunzi (Rahimahu Allaah) amesema:
Ni wajibu kusema “Bismillaah” mtu akikumbuka hilo.
MAELEZO
Ni lazima kusema “Bismillaah” wakati mtu atakumbuka. Shaafi´iyyah wanaona kuwa kusema hivo ni jambo limependekezwa na sio lazima. Endapo mtu ataacha kusema hivo kwa makusudi wudhuu´ wake unasihi. Hayo pia ndio maoni ya Maalik, Abu Haniyfah na kikosi kikubwa cha wanachuoni. Na ndio udhahiri wa mapokezi mawili ya Ahmad. Kuna upokezi mwingine umepokelewa kutoka kwake kwamba ni lazima[1].
[1] al-Majmuu´ (01/408).
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 33
Imechapishwa: 15/12/2021
https://firqatunnajia.com/22-ni-wajibu-kusema-tasmiyah-kabla-ya-kutawadha/