1- Miongoni mwa matunda ya elimu ni kuwa kheri zote zinarudi kwayo. Hakika elimu ni tunda lililobarikiwa. Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) anasema:
“Kila sifa aliyomsifia Allaah mja katika Qur-aan ni kutokana na matunda na natija ya elimu. Kila kitu alichokisema vibaya ni kutokana na matunda na natija ya ujinga.”[1]
Elimu ni tunda lililobarikiwa. Elimu ina matunda mbivu.
[1] Miftaah Daar-us-Sa´aadah” (01/115)
- Muhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Ilm wa Wasaaailuh wa Thimaaruh
- Imechapishwa: 22/10/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)