Swali 21: Aliyekufa katika uwanja wa vita hali ya kuwa ni mwenye kuathirika kwa majeraha yake anaoshwa, anavikwa sanda na kuswaliwa?
Jibu: Ndio. Anaoshwa, anavikwa sanda na kuswaliwa. Kunatarajiwa juu yake ujira wa aliyekufa shahidi akitakasa nia yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 22
- Imechapishwa: 16/12/2021
Swali 21: Aliyekufa katika uwanja wa vita hali ya kuwa ni mwenye kuathirika kwa majeraha yake anaoshwa, anavikwa sanda na kuswaliwa?
Jibu: Ndio. Anaoshwa, anavikwa sanda na kuswaliwa. Kunatarajiwa juu yake ujira wa aliyekufa shahidi akitakasa nia yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 22
Imechapishwa: 16/12/2021
https://firqatunnajia.com/21-kumuosha-mjeruhi-wa-uwanja-wa-vita-akifa-baada-ya-hapo/