Swali 21: Aliyekufa katika uwanja wa vita hali ya kuwa ni mwenye kuathirika kwa majeraha yake anaoshwa, anavikwa sanda na kuswaliwa?
Jibu: Ndio. Anaoshwa, anavikwa sanda na kuswaliwa. Kunatarajiwa juu yake ujira wa aliyekufa shahidi akitakasa nia yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 22
- Imechapishwa: 16/12/2021
Swali 21: Aliyekufa katika uwanja wa vita hali ya kuwa ni mwenye kuathirika kwa majeraha yake anaoshwa, anavikwa sanda na kuswaliwa?
Jibu: Ndio. Anaoshwa, anavikwa sanda na kuswaliwa. Kunatarajiwa juu yake ujira wa aliyekufa shahidi akitakasa nia yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 22
Imechapishwa: 16/12/2021
https://firqatunnajia.com/21-kumuosha-mjeruhi-wa-uwanja-wa-vita-akifa-baada-ya-hapo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)