Swali 22: Je, anaoshwa mwenye kudhulumiwa[1]?
Jibu: Ndio, anaoshwa na kuswaliwa. ´Umar al-Faaruq (Radhiya Allaahu ´anh) aliuliwa hali ya kudhulumiwa. ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh) aliulizwa hali ya kudhulumiwa. Licha ya hivo alioshwa na Maswahabah wakamswalia. Vivyo hivyo ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh) aliuliwa hali ya kudhulumiwa ambapo akaoshwa na kuswaliwa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/122).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 22
- Imechapishwa: 16/12/2021
Swali 22: Je, anaoshwa mwenye kudhulumiwa[1]?
Jibu: Ndio, anaoshwa na kuswaliwa. ´Umar al-Faaruq (Radhiya Allaahu ´anh) aliuliwa hali ya kudhulumiwa. ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh) aliulizwa hali ya kudhulumiwa. Licha ya hivo alioshwa na Maswahabah wakamswalia. Vivyo hivyo ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh) aliuliwa hali ya kudhulumiwa ambapo akaoshwa na kuswaliwa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/122).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 22
Imechapishwa: 16/12/2021
https://firqatunnajia.com/22-anaoshwa-aliyekufa-kwa-kudhulumiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)