Bakriyyah. Wao pia ni Qadariyyah na wanajinasibisha na nafaka na shilingi. Wanaona kuwa yule ambaye atachukua nafaka au shilingi kwa njia isiyokuwa ya halali, basi ni kafiri. ´Aqiydah yao inakumbushia ´Aqiydah ya Khawaarij.
- Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 80
- Imechapishwa: 01/06/2022
Bakriyyah. Wao pia ni Qadariyyah na wanajinasibisha na nafaka na shilingi. Wanaona kuwa yule ambaye atachukua nafaka au shilingi kwa njia isiyokuwa ya halali, basi ni kafiri. ´Aqiydah yao inakumbushia ´Aqiydah ya Khawaarij.
Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 80
Imechapishwa: 01/06/2022
https://firqatunnajia.com/21-hivi-ndivo-wanavoamini-bakriyyah/