196 – Abu Ayyuub ameeleza kuwa amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
مَن توضّأَ كما أُمِرَ، وصلى كما أُمِرَ؛ غُفِرَ له ما قدَّم من عمل
“Yule mwenye kutawadha na kuswali kama alivyoamrishwa, basi atasamehewa matendo yake yaliyotangulia.”[1]
Ameipokea an-Nasaa´iy, Ibn Maajah na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake kwa tamko lisemalo:
مَن توضّأَ كما أُمِرَ غُفِرَ له ما تقدَّمَ من ذنبه
“Yule mwenye kutawadha kama alivyoamrishwa, basi atasamehewa dhambi zake zilizotangulia.”
[1] Nzuri na Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/197)
- Imechapishwa: 29/12/2023
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
196 – Abu Ayyuub ameeleza kuwa amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
مَن توضّأَ كما أُمِرَ، وصلى كما أُمِرَ؛ غُفِرَ له ما قدَّم من عمل
“Yule mwenye kutawadha na kuswali kama alivyoamrishwa, basi atasamehewa matendo yake yaliyotangulia.”[1]
Ameipokea an-Nasaa´iy, Ibn Maajah na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake kwa tamko lisemalo:
مَن توضّأَ كما أُمِرَ غُفِرَ له ما تقدَّمَ من ذنبه
“Yule mwenye kutawadha kama alivyoamrishwa, basi atasamehewa dhambi zake zilizotangulia.”
[1] Nzuri na Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/197)
Imechapishwa: 29/12/2023
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/21-hadiyth-yule-mwenye-kutawadha-na-kuswali-kama-alivyoamrishwa/