Allaah amesema kuwaambia makafiri:
وَقِيلَ الْيَوْمَ نَنسَاكُمْ كَمَا نَسِيتُمْ لِقَاءَ يَوْمِكُمْ هَـٰذَا
”Kutasemwa: ”Leo Tunakusahauni kama mlivyosahau makutano na Siku yenu hii.”[1]
Katika Aayah nyingine amesema:
لَّا يَضِلُّ رَبِّي وَلَا يَنسَى
”Mola wangu hakosei na wala hasahau.”[2]
Matokeo yake wakaitilia mashaka Qur-aan.
Kuhusu maneno Yake:
لَّا يَضِلُّ رَبِّي وَلَا يَنسَى
”Mola wangu hakosei na wala hasahau.”
maana yake ni kwamba nakuacheni ndani ya Moto kama nyinyi mlivyosahau kuifanyia matendo Siku yenu hii.
Kuhusu maneno Yake:
لَّا يَضِلُّ رَبِّي وَلَا يَنسَى
”Mola wangu hakosei na wala hasahau.”
maana yake hayaondoki katika kumbukumbu Yake na wala hasahau[3].
[1] 45:34
[2] 20:52
[3] Ibn ´Aqiyl al-Hanbaliy amesema:
”Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah) ameandika kitabu kinachoitwa ”ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah waz-Zanaadiqah wal-Qadariyyah.” (al-Aadaab ash-Shar´iyyah (1/274))
Ibn Taymiyyah amesema:
”Kama alivosema Imaam Ahmad katika kitabu chake ”ar-Radd ´alaaz-Zanaadiqah wal-Jahmiyyah.” (Tafsiyr Suurat-il-Ikhlaasw, uk. 239)
Ibn Kathiyr amesema:
”… na hivo ndivo alivosema Ahmad bin Hanbal katika kitabu ”ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah” (Tafsiyr al-Qur-aan al-´Adhwiym (3/304))
Ibn Hajar al-´Asqalaaniy amesema:
”Amesema waziwazi Ahmad katika kitabu “ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah.” (Fath-ul-Baariy (13/598))
- Mhusika: Imaam Ahmad bin Hanbal (afk. 241)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah waz-Zanaadiqah, uk. 89-90
- Imechapishwa: 17/04/2024
Allaah amesema kuwaambia makafiri:
وَقِيلَ الْيَوْمَ نَنسَاكُمْ كَمَا نَسِيتُمْ لِقَاءَ يَوْمِكُمْ هَـٰذَا
”Kutasemwa: ”Leo Tunakusahauni kama mlivyosahau makutano na Siku yenu hii.”[1]
Katika Aayah nyingine amesema:
لَّا يَضِلُّ رَبِّي وَلَا يَنسَى
”Mola wangu hakosei na wala hasahau.”[2]
Matokeo yake wakaitilia mashaka Qur-aan.
Kuhusu maneno Yake:
لَّا يَضِلُّ رَبِّي وَلَا يَنسَى
”Mola wangu hakosei na wala hasahau.”
maana yake ni kwamba nakuacheni ndani ya Moto kama nyinyi mlivyosahau kuifanyia matendo Siku yenu hii.
Kuhusu maneno Yake:
لَّا يَضِلُّ رَبِّي وَلَا يَنسَى
”Mola wangu hakosei na wala hasahau.”
maana yake hayaondoki katika kumbukumbu Yake na wala hasahau[3].
[1] 45:34
[2] 20:52
[3] Ibn ´Aqiyl al-Hanbaliy amesema:
”Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah) ameandika kitabu kinachoitwa ”ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah waz-Zanaadiqah wal-Qadariyyah.” (al-Aadaab ash-Shar´iyyah (1/274))
Ibn Taymiyyah amesema:
”Kama alivosema Imaam Ahmad katika kitabu chake ”ar-Radd ´alaaz-Zanaadiqah wal-Jahmiyyah.” (Tafsiyr Suurat-il-Ikhlaasw, uk. 239)
Ibn Kathiyr amesema:
”… na hivo ndivo alivosema Ahmad bin Hanbal katika kitabu ”ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah” (Tafsiyr al-Qur-aan al-´Adhwiym (3/304))
Ibn Hajar al-´Asqalaaniy amesema:
”Amesema waziwazi Ahmad katika kitabu “ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah.” (Fath-ul-Baariy (13/598))
Mhusika: Imaam Ahmad bin Hanbal (afk. 241)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah waz-Zanaadiqah, uk. 89-90
Imechapishwa: 17/04/2024
https://firqatunnajia.com/21-allaah-hasahau/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)