Swali 20: Je, inafaa kwa mwanamke kupangusa kichwa chake ikiwa amekipaka hina na mfano wake?
Jibu: Inafaa kwa mwanamke kufuta kichwa chake kama amekipaka hina. Hakuna haja kwa yeye kuondoa hina hii. Imethibiti kwamba kichwa cha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kilikuwa kimepakwa hina alipokuwa katika Ihraam. Hina iliopakwa katika kichwa ni sehemu ya kichwa. Hili linafahamisha kwamba kuna wepesi katika kusafisha kichwa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/171)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Swali 20: Je, inafaa kwa mwanamke kupangusa kichwa chake ikiwa amekipaka hina na mfano wake?
Jibu: Inafaa kwa mwanamke kufuta kichwa chake kama amekipaka hina. Hakuna haja kwa yeye kuondoa hina hii. Imethibiti kwamba kichwa cha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kilikuwa kimepakwa hina alipokuwa katika Ihraam. Hina iliopakwa katika kichwa ni sehemu ya kichwa. Hili linafahamisha kwamba kuna wepesi katika kusafisha kichwa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/171)
Imechapishwa: 06/05/2021
https://firqatunnajia.com/20-inafaa-kwa-mwanamke-kufuta-kichwa-chake-kilichopakwa-hina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)