Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
147 – Kila kitu kinatokea kwa matakwa ya Allaah (Ta´ala), ujuzi, mipango na makadirio Yake.
MAELEZO
Hakuna chochote kinachotokea katika ufalme Wake isipokuwa kwa utambuzi na kukadiria Kwake:
وَمَاتَشَاءُونَإِلَّاأَنيَشَاءَاللَّـهُرَبُّالْعَالَمِينَ
”Hamtotaka isipokuwa atake Allaah, Mola wa walimwengu.”[1]
Kila kitu kinachotokea katika ulimwengu amekipanga, kukikadiria na ameakiandika katika Ubao uliohifadhiwa.
[1]81:29
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 213-214
- Imechapishwa: 15/04/2025
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
147 – Kila kitu kinatokea kwa matakwa ya Allaah (Ta´ala), ujuzi, mipango na makadirio Yake.
MAELEZO
Hakuna chochote kinachotokea katika ufalme Wake isipokuwa kwa utambuzi na kukadiria Kwake:
وَمَاتَشَاءُونَإِلَّاأَنيَشَاءَاللَّـهُرَبُّالْعَالَمِينَ
”Hamtotaka isipokuwa atake Allaah, Mola wa walimwengu.”[1]
Kila kitu kinachotokea katika ulimwengu amekipanga, kukikadiria na ameakiandika katika Ubao uliohifadhiwa.
[1]81:29
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 213-214
Imechapishwa: 15/04/2025
https://firqatunnajia.com/195-kila-kinachotokea-kinatokea-kwa-matakwa-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)