315 – Buraydah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
بَشِّرِ المشَّائين في الظُّلَم إلى المساجد بالنّورِ التامِّ يومَ القيامةِ
“Wape bishara njema watembeaji[1] gizani kwenda misikitini kwamba watakuwa na nuru kamili siku ya Qiyaamah.”[2]
Ameipokea Abu Daawuud na at-Tirmidhiy ambaye amesema:
“Hadiyth ni geni.”
Wapokezi wa cheni ya wapokezi wake ni waaminifu.
316 – Ibn Maajah pia ameipokea kupitia kwa Anas[3].
[1] Makusudio ni wale ambao mara nyingi wana mazowea ya kufanya hivo, na si yule ambaye imetokea akaenda mara kadhaa. Hadiyht inakusudia Fajr na ´ishaa pale ambapo ndio kunakuwa na giza.
[2] Swahiyh kupitia zingine.
[3] Swahiyh kupitia zingine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/246)
- Imechapishwa: 02/12/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)