Watu wa Bid´ah katika masuala haya wamegawanyika makundi matatu:
1- Kundi lililosema kwamba Qur-aan imeumbwa. Kama mfano wa Mu´tazilah na wale waliokubaliana nao katika Bid´ah hii mbaya.
2- Kundi lililosema kwamba matamshi ya Qur-aan yameumbwa. Kwa mtazamo wa Salaf hawa ni wazushi kama walivowahukumu ukafiri wale waliosema kwamba Qur-aan imeumbwa.
3- Kundi ambalo halisemi kuwa Qur-aan imeumbwa wala haikuumbwa. Hawa ni wale wenye kusimama na kunyamaza na ni waovu zaidi kuliko wale wenye kusema kwamba Qur-aan imeumbwa.
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Itmaam-ul-Minnah, uk. 101
- Imechapishwa: 09/04/2019
Watu wa Bid´ah katika masuala haya wamegawanyika makundi matatu:
1- Kundi lililosema kwamba Qur-aan imeumbwa. Kama mfano wa Mu´tazilah na wale waliokubaliana nao katika Bid´ah hii mbaya.
2- Kundi lililosema kwamba matamshi ya Qur-aan yameumbwa. Kwa mtazamo wa Salaf hawa ni wazushi kama walivowahukumu ukafiri wale waliosema kwamba Qur-aan imeumbwa.
3- Kundi ambalo halisemi kuwa Qur-aan imeumbwa wala haikuumbwa. Hawa ni wale wenye kusimama na kunyamaza na ni waovu zaidi kuliko wale wenye kusema kwamba Qur-aan imeumbwa.
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Itmaam-ul-Minnah, uk. 101
Imechapishwa: 09/04/2019
https://firqatunnajia.com/18-nadharia-tatu-za-kizushi-kuhusu-uumbaji-wa-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)