18- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiomba kinga kwa Allaah kutokamana na shaytwaan na akisema:
أَعُوذُ باللهِ مِنَ الشَّيْطَانِ الرَّجِيم منْ هَمْزِهِ نَفْخِهِ وَنَفْثِهِ
“Ninajilinda kwa Allaah na shaytwaan aliyefukuzwa na kutokamana na wazimu wake[1], jeuri yake na ushairi wake.”[2]
Wakati mwingine alikuwa akiweza kuongeza na kusema:
أَعوذ بالله السميع العليم من الشَّيْطانِ الرَّجِيمِ من هَمْزِهِ ونَفْخِهِ ونَفثِه
“Ninajilinda kwa Allaah, Mwenye kusikia, Mjuzi, kutokamana na shaytwaan aliyefukuzwa; upilizaji wake, jeuri yake na ushairi wake.”[3]
Baada ya hapo anasoma:
بِسْمِ اللّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ
“Kwa jina la Allaah, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.”[4]
[1] Tafsiri za maneno yote haya imepokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa isnadi Swahiyh lakini hata hivyo iliyokatika mlolongo wake baina ya Taabi´iy na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Makusudio ya shairi ni shairi lililosemwa vibaya, kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika katika mashairi kuna hekima.” (al-Bukhaari)
[2] Abuu Daawuud, Ibn Maajah, ad-Daaraqutwniy na al-Haakim aliyeisahihisha pamoja na Ibn Hibbaan na adh-Dhahabiy. Imetajwa pamoja na upokezi wenye kufuata katika ”al-Irwaa’” (342
[3] Abuu Daawuud na at-Tirmidhiy kwa isnadi nzuri. Maoni haya yana Ahmad, kama ilvyotajwa katika ”al-Masaa-il” (1/50) ya Ibn Haani.
[4] al-Bukhaariy, Muslim, Abuu ´Awaanah, at-Twahaawiy na Ahmad.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 84
- Imechapishwa: 13/10/2016
18- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiomba kinga kwa Allaah kutokamana na shaytwaan na akisema:
أَعُوذُ باللهِ مِنَ الشَّيْطَانِ الرَّجِيم منْ هَمْزِهِ نَفْخِهِ وَنَفْثِهِ
“Ninajilinda kwa Allaah na shaytwaan aliyefukuzwa na kutokamana na wazimu wake[1], jeuri yake na ushairi wake.”[2]
Wakati mwingine alikuwa akiweza kuongeza na kusema:
أَعوذ بالله السميع العليم من الشَّيْطانِ الرَّجِيمِ من هَمْزِهِ ونَفْخِهِ ونَفثِه
“Ninajilinda kwa Allaah, Mwenye kusikia, Mjuzi, kutokamana na shaytwaan aliyefukuzwa; upilizaji wake, jeuri yake na ushairi wake.”[3]
Baada ya hapo anasoma:
بِسْمِ اللّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ
“Kwa jina la Allaah, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.”[4]
[1] Tafsiri za maneno yote haya imepokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa isnadi Swahiyh lakini hata hivyo iliyokatika mlolongo wake baina ya Taabi´iy na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Makusudio ya shairi ni shairi lililosemwa vibaya, kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika katika mashairi kuna hekima.” (al-Bukhaari)
[2] Abuu Daawuud, Ibn Maajah, ad-Daaraqutwniy na al-Haakim aliyeisahihisha pamoja na Ibn Hibbaan na adh-Dhahabiy. Imetajwa pamoja na upokezi wenye kufuata katika ”al-Irwaa’” (342
[3] Abuu Daawuud na at-Tirmidhiy kwa isnadi nzuri. Maoni haya yana Ahmad, kama ilvyotajwa katika ”al-Masaa-il” (1/50) ya Ibn Haani.
[4] al-Bukhaariy, Muslim, Abuu ´Awaanah, at-Twahaawiy na Ahmad.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 84
Imechapishwa: 13/10/2016
https://firqatunnajia.com/18-kisomo-baada-ya-duaa-za-kufungulia-swalah-na-kabla-ya-al-faatihah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)