Swali 18: Je, inafaa kupangusa juu ya tarbushi[1]?
Jibu: Udhahiri ni kwamba ikiwa hakuna ugumu wa kuivua basi haitofaa kufuta juu yake kwa sababu ni yenye kufanana na chepeo kwa pande fulani. Kimsingi ni ulazima wa kupangusa juu ya kichwa mpaka ibainike kwamba vazi hilo ni miongoni mwa vitu ambavo inafaa kupangusa juu yake.
[1] Tazama https://ar.wikipedia.org/wiki/طربوش
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/170-171)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Swali 18: Je, inafaa kupangusa juu ya tarbushi[1]?
Jibu: Udhahiri ni kwamba ikiwa hakuna ugumu wa kuivua basi haitofaa kufuta juu yake kwa sababu ni yenye kufanana na chepeo kwa pande fulani. Kimsingi ni ulazima wa kupangusa juu ya kichwa mpaka ibainike kwamba vazi hilo ni miongoni mwa vitu ambavo inafaa kupangusa juu yake.
[1] Tazama https://ar.wikipedia.org/wiki/طربوش
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/170-171)
Imechapishwa: 06/05/2021
https://firqatunnajia.com/18-je-inafaa-kupangusa-juu-ya-tarbushi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)