Swali 17: Shimaagh[1], chepeo na kofia zinazofunika kichwa na masikio zina hukumu moja kama kilemba?
Jibu: Shimaagh na chepeo hazina hukumu moja kama kilemba kabisa.
Kuhusu kofia zinazovaliwa wakati wa majira ya baridi zenye kufunika kichwa na masikio na zinaweza vilevile kufungwa kwa kuzungushwa shingoni, hizi ni kama kilemba kutokana na ugumu wa kuzivua. Kwa hivyo inafaa kupangusa juu yake.
[1] Tazama https://ar.wikipedia.org/wiki/كوفية
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/170)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Swali 17: Shimaagh[1], chepeo na kofia zinazofunika kichwa na masikio zina hukumu moja kama kilemba?
Jibu: Shimaagh na chepeo hazina hukumu moja kama kilemba kabisa.
Kuhusu kofia zinazovaliwa wakati wa majira ya baridi zenye kufunika kichwa na masikio na zinaweza vilevile kufungwa kwa kuzungushwa shingoni, hizi ni kama kilemba kutokana na ugumu wa kuzivua. Kwa hivyo inafaa kupangusa juu yake.
[1] Tazama https://ar.wikipedia.org/wiki/كوفية
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/170)
Imechapishwa: 06/05/2021
https://firqatunnajia.com/17-je-inafaa-kupangusa-juu-ya-shimaagh-chepeo-na-kofia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)