Swali 19: Je, inafaa kwa mwanamke kupangusa juu ya mtandio wake?
Jibu: Maoni yaliyotangaa kwa Hanaabilah ni kwamba inajuzu ikiwa umezungushwa shingoni mwake. Hili limepokelewa kutoka kwa baadhi ya wakeze Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum).
Ikiwa kuna uzito wa kuvua mtandio kwa sababu ya baridi au kuna uzito kwa mtu kuuvua kisha akauvaa tena, ni sawa kupangusa juu yake. Vinginevyo bora ni kutokufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/171)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Swali 19: Je, inafaa kwa mwanamke kupangusa juu ya mtandio wake?
Jibu: Maoni yaliyotangaa kwa Hanaabilah ni kwamba inajuzu ikiwa umezungushwa shingoni mwake. Hili limepokelewa kutoka kwa baadhi ya wakeze Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum).
Ikiwa kuna uzito wa kuvua mtandio kwa sababu ya baridi au kuna uzito kwa mtu kuuvua kisha akauvaa tena, ni sawa kupangusa juu yake. Vinginevyo bora ni kutokufanya hivo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/171)
Imechapishwa: 06/05/2021
https://firqatunnajia.com/19-je-inafaa-kwa-mwanamke-kupangusa-juu-ya-mtandio-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)