Swali: Ni du´aa ipi inayotakiwa kusomwa wakati wa kukata swawm? Mtu afungue swawm kwa kitu gani?
Jibu: Du´aa inayotakiwa kusomwa wakati wa kukata swawm:
ذَهَبَ الظَّمَأُ وَابْتَلَّتِ الْعُرُوقُ وَثَبَتَ الْأَجْرُ إِنْ شَاءَ اللَّهُ
“Kiu kimeondoka, mishipa imerowana na ujira umepatikana – Allaah akitaka.”[1]
Mfungaji atafungua kwa tende tosa au tende za kawaida. Akikosa basi atafungua kwa maji, hivyo ndivo katukhabarisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Abu Daawuud (2357), al-Bayhaqiy katika ”as-Sunan al-Kubraa” (4/239) na katika ”as-Sunan as-Sughraa” (1390) na ad-Daaraqutwniy (240). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Irwaa’-ul-Ghaliyl”.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 22
- Imechapishwa: 21/03/2022
Swali: Ni du´aa ipi inayotakiwa kusomwa wakati wa kukata swawm? Mtu afungue swawm kwa kitu gani?
Jibu: Du´aa inayotakiwa kusomwa wakati wa kukata swawm:
ذَهَبَ الظَّمَأُ وَابْتَلَّتِ الْعُرُوقُ وَثَبَتَ الْأَجْرُ إِنْ شَاءَ اللَّهُ
“Kiu kimeondoka, mishipa imerowana na ujira umepatikana – Allaah akitaka.”[1]
Mfungaji atafungua kwa tende tosa au tende za kawaida. Akikosa basi atafungua kwa maji, hivyo ndivo katukhabarisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Abu Daawuud (2357), al-Bayhaqiy katika ”as-Sunan al-Kubraa” (4/239) na katika ”as-Sunan as-Sughraa” (1390) na ad-Daaraqutwniy (240). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Irwaa’-ul-Ghaliyl”.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 22
Imechapishwa: 21/03/2022
https://firqatunnajia.com/18-duaa-bora-wakati-wa-kukata-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)